Tuesday, 8 December 2015

#CRDB chanika yavamiwa na majambazi



‪#‎Habari‬ Majambazi wamevamia na kupora pesa CRDB na DCB Bank Chanika na kuua kwa risasi watu 2 na kujeruhi baadhi ya wafanyakazi. kwa taarifa zaidi endelea kutufatilia taarifa zetu.












No comments:

Post a Comment