Thursday, 18 December 2014

TUMBILI KAMFUKUZA MWIZI!!!???




baada ya jaji werema kujiudhuru nyadhifa ya mwanansheria mkuu wa serikali watanzania wameanza kujiuliza ni nani kati yao anaitwa  'TUMBILI' na je tumbili mnyama mdogo vile anawezaje kumfukuza mwizi akakimbia .... maneno hayo yanakuja baada ya jaji Fredrick werema kumuit tumbili mh. KAFULILA  kwasababu mh. KAFULILA alimuita jaji fedrick werema mwizi hawezi kuendelea kuwa mwanansheria mkuu wa serikali...je tumbili kamfukuza mwizi!!!???





            

No comments:

Post a Comment