TAREHE 05-01-2011
Police wawapiga risasi watu zaidi
ya 11 ktk maandamano ya
CHADEMA. Waua watu 3.
TAREHE_10-2011
Dk.Mwakyembe aenda India
kutibiwa kutokana na Kupewa
Sumu.PoliCCM walipotezea kisiasa.
TAREHE_02-2012
Shehe Ali khamis Kuuawa kwa
mapanga.
TAREHE 26-06-2012
Dr.Ulimboka akatekwa na kufanyiwa
unyama.
TAREHE 18-07-2012
Mv spice yazama.
TAREHE 02-09-2012
Daudi Mwangosi auliwa na polisi
Iringa.
TAREHE 28-09-2012
LHRC Waishtaki serikali ya K.. ICC
TAREHE 12-10-2012
Mtoto kudhihaki Kitabu kitakatifu
(haijawahi kutokea Tz)
TAREHE 16-10-2012
Shehe Farid A. Hadi kiongozi wa
Uhamsho kutekwa na kupotea
(Alipatikana)
TAREHE _12-2012
Padre Ambrose apigwa risasi
Zanzibar
TAREHE _02-2013
Padre Evarist Mushi apigwa risasi
Zanzibar.
TAREHE 18-02-2013
Matokeo kidato cha 4
mabovu,haijawahi kutokea duniani
tangu kuumbwa kwa Adam na
Hawa.
Waliopata div 4 na 0 ni takriban
95%
TAREHE 05-03-2013
Kibanda afanyiwa ya Ulimboka.
TAREHE _03-2013
Lwakatale (mkurugenzi wa usalama
CHADEMA) atuhumiwa kwa Ugaidi.
TAREHE 17-04-2013
wabunge 6 wa CHADEMA watolewa
nje ya bunge,Ndugai/naibu spika
awapa adhabu ya kutoingia
bungeni siku 5 kinyume na kanuni
za bunge.
Siku hiyohiyo mh.Lema amtaja Rais
kuwa ndie mwanzilishi wa udini.
TAREHE 25-04-2013
Lema avamiwa usiku wa manane
na polisi kwa amri ya Mulongo/
mkuu wa mkoa wa Arusha
UPDATE,
TAREHE 05-05-2013
Mlipuko watokea kanisani Arusha...
Mheshimiwa rais akiwa angani na
ndege kuelekea Kuwait kuta..
TAREHE 08-05-2013
Lwakatale/mkulugenzi wa usalama
wa CHADEMA afutiwa mashtaka ya
ugaidi.
MWAKA 2013
.Deni la taifa lafikia tril.22 wakati
Kikwete alikuta deni ni tril.5
.Dola moja=1,600 tshs wakat
alikuta dola moja=600tshs.
TAREHE 14-05-2013
tetesi za
Kikwete kuandaliwa mpango wa
kuwa rais wa Tz hadi mwaka 2017
badala ya mwaka 2015,ili asimamie
kukamilika kwa uundwaji wa katiba
mpya.
Source,Mh.Pro.Lipumba.
UPDATES:
TAREHE 18-05-2013
Tetesi: Kanisa la TAG ladaiwa
kuchomwa moto leo hii....
TAREHE 19-05-2013
Iringa, Police wawashambulia
Wamachinga kwa Mabomu ya
machozi kuwaondoa eneo
wanalofanyia kazi.
Mh.Mch.Msigwa Mbunge wa Iringa
Mjini akamatwa na Police.
Tare.20-05-2013 Mhe.Msigwa
atolewa Lupango kwa dhamana.
TAREHE 22-05-2013
Ukaidi wa Kikwete na waziri wake
wa nishati na madini wasababisha
vurugu Mtwara watu wakipinga
ujenz wa bomba la gesi kwenda
Dar.
Zaidi ya watu 6 wakiwemo Police
wauawa.
(kama kunanilichokisahau ama
kukosea nikumbusheni at)
mfano,Tarehe aliyosema hajui
kwanini Tz ni maskin,msongamano
wa magali dar ni ishara ya maisha bora kwa kila Mtanzania.
Sunday, 22 February 2015
MATUKIO YA KUSIKITISHA YALIYOTOKEA CHINI YA MH. RAISI JAKAYA M KIKWETE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment