Sunday, 22 February 2015

MATUKIO YA KUSIKITISHA YALIYOTOKEA CHINI YA MH. RAISI JAKAYA M KIKWETE


TAREHE 05-01-2011
Police wawapiga risasi watu zaidi
ya 11 ktk maandamano ya
CHADEMA. Waua watu 3.
TAREHE_10-2011
Dk.Mwakyembe aenda India
kutibiwa kutokana na Kupewa
Sumu.PoliCCM walipotezea kisiasa.
TAREHE_02-2012
Shehe Ali khamis Kuuawa kwa
mapanga.
TAREHE 26-06-2012
Dr.Ulimboka akatekwa na kufanyiwa
unyama.
TAREHE 18-07-2012
Mv spice yazama.
TAREHE 02-09-2012
Daudi Mwangosi auliwa na polisi
Iringa.
TAREHE 28-09-2012
LHRC Waishtaki serikali ya K.. ICC
TAREHE 12-10-2012
Mtoto kudhihaki Kitabu kitakatifu
(haijawahi kutokea Tz)
TAREHE 16-10-2012
Shehe Farid A. Hadi kiongozi wa
Uhamsho kutekwa na kupotea
(Alipatikana)
TAREHE _12-2012
Padre Ambrose apigwa risasi
Zanzibar
TAREHE _02-2013
Padre Evarist Mushi apigwa risasi
Zanzibar.
TAREHE 18-02-2013
Matokeo kidato cha 4
mabovu,haijawahi kutokea duniani
tangu kuumbwa kwa Adam na
Hawa.
Waliopata div 4 na 0 ni takriban
95%
TAREHE 05-03-2013
Kibanda afanyiwa ya Ulimboka.
TAREHE _03-2013
Lwakatale (mkurugenzi wa usalama
CHADEMA) atuhumiwa kwa Ugaidi.
TAREHE 17-04-2013
wabunge 6 wa CHADEMA watolewa
nje ya bunge,Ndugai/naibu spika
awapa adhabu ya kutoingia
bungeni siku 5 kinyume na kanuni
za bunge.
Siku hiyohiyo mh.Lema amtaja Rais
kuwa ndie mwanzilishi wa udini.
TAREHE 25-04-2013
Lema avamiwa usiku wa manane
na polisi kwa amri ya Mulongo/
mkuu wa mkoa wa Arusha
UPDATE,
TAREHE 05-05-2013
Mlipuko watokea kanisani Arusha...
Mheshimiwa rais akiwa angani na
ndege kuelekea Kuwait kuta..
TAREHE 08-05-2013
Lwakatale/mkulugenzi wa usalama
wa CHADEMA afutiwa mashtaka ya
ugaidi.
MWAKA 2013
.Deni la taifa lafikia tril.22 wakati
Kikwete alikuta deni ni tril.5
.Dola moja=1,600 tshs wakat
alikuta dola moja=600tshs.
TAREHE 14-05-2013
tetesi za
Kikwete kuandaliwa mpango wa
kuwa rais wa Tz hadi mwaka 2017
badala ya mwaka 2015,ili asimamie
kukamilika kwa uundwaji wa katiba
mpya.
Source,Mh.Pro.Lipumba.
UPDATES:
TAREHE 18-05-2013
Tetesi: Kanisa la TAG ladaiwa
kuchomwa moto leo hii....
TAREHE 19-05-2013
Iringa, Police wawashambulia
Wamachinga kwa Mabomu ya
machozi kuwaondoa eneo
wanalofanyia kazi.
Mh.Mch.Msigwa Mbunge wa Iringa
Mjini akamatwa na Police.
Tare.20-05-2013 Mhe.Msigwa
atolewa Lupango kwa dhamana.
TAREHE 22-05-2013
Ukaidi wa Kikwete na waziri wake
wa nishati na madini wasababisha
vurugu Mtwara watu wakipinga
ujenz wa bomba la gesi kwenda
Dar.
Zaidi ya watu 6 wakiwemo Police
wauawa.
(kama kunanilichokisahau ama
kukosea nikumbusheni at)
mfano,Tarehe aliyosema hajui
kwanini Tz ni maskin,msongamano
wa magali dar ni ishara ya maisha bora kwa kila Mtanzania.

No comments:

Post a Comment