Mbunge wa jimbo la Ubungo Mhe. Said Kubenea ameitaka halmashauri ya manispaa ya Kinondoni kuhakikisha fedha za ushuru zinazokusanywa katika masoko yote yaliyomo katika jimbo la Kinondoni zitumike katika kuboresha miundombinu ya masoko hayo ili kuwajengea hari ya kulipa ushuru wafanyabiashara hao

No comments:
Post a Comment