Maoni ya zitto zuberi kabwe juu ya jubadilishwa kwa wizara waziri MWAKYEMBE ametodautiana na mawazo na wananchi wengi wa TANZANIA ambao wanaamini kuwa waziri MWAKYEMBE alifanya kazi nzuri sana kwenye wizara ya uchukuzi wengine wanaamini MWAKYEMBE akiwazibia mianya ya rushwa na mianya ya dawa za kulevya uwanja wa ndege pamoja kuleta ahuen kwenye usafiri wa dar es salaam kwa kuleta treni jipya kwa ajili ya usafiri dar es salaam.
No comments:
Post a Comment