Thursday, 10 December 2015

BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI WA MAGUFULI

HOTUBA YA JPM KUTANGAZA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI.
Magufuli: Ndugu waandishi wa habari na watanzania kwa ujumla, ninawasalimu sana. Nawakaribisha katika kikao hiki cha kutangaza baraza la mawaziri,
Tutakuwa na mawaziri 19, kuna baadhi ya wizara zitakuwa na mawaziri na hazitakuwa na manaibu waziri. Lengo ni kuwa na baraza dogo kupunguza gharama.
Zilitengwa bilioni 2, mawaziri watakapoteuliwa waende semina elekezi, baraza nitakaloliteua halitakuwa na semina elekezi na fedha tutaelekeza sehemu nyingine kama ni madawati au kwenye elimu bure.
Wizara ni 18 lakini Mawaziri ni 19 kwa sababu wizara ya Ofisi ya Rais menejimenti ya Utumishi wa Umma naiunganisha na Utawala bora na TAMISEMI hivyo itakua na mawaziri wawili. Wizara ni kama ifuatavyo;
1. Ofisi ya Rais, Tamesemi utumishi na utawala bora,
-MAWAZIRI; Simbachawene na Kairuki,
-NAIBU; Selemani Jaffo
2. Muungano na Mazingira:
-WAZIRI; January Makamba,
-NAIBU; Luhaga Mpina
3. Ajira, walemavu:
-WAZIRI; Jenista Mhagama,
-MANAIBU; nimemtua mbunge, Abdalah Posi Abdallah ambae ni mhadhiri Dodoma na Anthonu Mavunde,
4. Mambo ya Ndani,
-WAZIRI; Charless Kitwanga,
-NAIBU; Bado
5. Kilimo, mifugo na uvuvi:
-WAZIRI; Mwigulu Nchemba,
-NAIBU; Willium Nashe
6. Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano:
-WAZIRI; Waziri bado sijamtafuta,
-NAIBU; Edwin Ngonyani.
7. Fedha na Mipango:
-WAZIRI; bado,
-NAIBU; Ashanyi Kijaji
8. Nishati na madini:
-WAZIRI; Sospeter Muhongo,
-NAIBU; Medadi
9. Katiba na sheria:
-WAZIRI; Mwakyembe,
-NAIBU bado
10. Mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki:
-WAZIRI; Augustino Mahiga nimemteua mbunge na waziri,
-NAIBU; Dr.Suzan Kolimba,
11. Ulinzi na JKT:
-WAZIRI; Dr. Hussein Mwinyi,
NAIBU; bado
12. Ardhi na maendeleo ya makazi:
-WAZIRI; Wiliam Lukuvi,
-NAIBU; Angelina Mabula
13. Utalii:
-WAZIRI; bado
-NAIBU; Makanye
14. Viwanda, Biashara na Uwekezaji:
-WAZIRI; Charles Mwijage
-NAIBU; Bado
15. Elimu, Sayansi na mafunzo ya ufundi:
-WAZIRI; Waziri bado,
-NAIBU; Stella Manyanya
16. Afya na Ustawi wa jamii:
WAZIRI; Ummy Mwalimu,
NAIBU; Hamis Kingwangala
17. Habari, Utamaduni na Michezo:
-WAZIRI; Nape Nnauye,
-NAIBU; Wambura
18. Maji na umwagiliaji:
-WAZIRI; Makame Mbarawa,
-NAIBU; Kamwele

Tuesday, 8 December 2015

#CRDB chanika yavamiwa na majambazi



‪#‎Habari‬ Majambazi wamevamia na kupora pesa CRDB na DCB Bank Chanika na kuua kwa risasi watu 2 na kujeruhi baadhi ya wafanyakazi. kwa taarifa zaidi endelea kutufatilia taarifa zetu.












Thursday, 26 November 2015

MAGUFULI KIBOKO HIVI NDIVYO MABASI YA UDA,DUKA LA SAPNA NA GARI LA BOSS WA SAPNA YALIVYO FUNGIWA KISA KUTOLIPA KODI.


TRA yaanza kung’ata, wafunga Sapna, wakamata magari UDA
MAMLAKA ya Mapato
Tanzania(TRA), imeanza
operesheni maalumu ya
kunasa wafanyabishara wakubwa
ambao wengine ni wadaiwa sugu
ambapo wanadaiwa na mamlaka hiyo
huku wafanyabishara wa duka la simu
la Sapna lililopo eneo la Posta mpya
jijini Dar es Salaam likitiwa kufuli.
Operesheni ya TRA dhidi ya
wanaodaiwa fedha ilianza jana maeneo
mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam
ambapo maofisa wa mamlaka hiyo
walikuwa wanakwenda eneo moja hadi
jingine na kote ambako wamekwenda
wamefunga ofisi za wafanyabishara
hao.
Maofisa wa TRA waliokuwa
na nyaraka mbalimbali za madeni
walipokuwa wanafika kwenye maeneo
ya wafanyabishara hao hawakuwa na
muda wa kupoteza zaidi ya kufunga
ofisi huku baadhi ya maofisa hao
walikuwa wakisema kuwa Hapa Kazi
Tu.
Duka la Sapna ililifungwa jana saa
tisa alasiri ambapo maofisa wa TRA
ambao hawakuwa tayari kutaja majina
yao walidai kuwa wamiliki wa duka
hilo ni miongoni mwa wanaodaiwa
na TRA na tena ni kiasi kikubwa cha
fedha.Hata hivyo hawakutaja kiwango
halisi cha fedha huku wakifafanua kuwa
wamiliki wa duka hilo walipewa taarifa
mapema, hivyo hawakuvamia zaidi ya
kutumia utaratibu maalumu.
Wakati duka hilo linafungwa
wananchi walikuwa eneo hilo
walijikuta wakishangaa kuona namna
ambavyo wamiliki wa duka hilo wenye
asili ya Asia wakibaki wameshika
vichwa bila kujua la kufanya.Moafisa
wa TRA mbali ya kufunga duka hilo,
pia waliamua kufunga gari la mmoja
wa wamiliki wa duka hilo.

Mbali ya kufunga duka hilo pia
maofisa wa TRA walikwenda kwenye
ofisi za Shirika la Usari Dar es Salaam
(UDA), ambako nako wamekamata
baadhi ya magari kutokana na kudaiwa
kodi huku pia ikielezwa eneo lingine
ambalo mamlaka hiyo imefanya
operesheni ni eneo la Victoria ambapo
kuna kampuni inayohusika na uuzaji
wa redio upepo na rimoti za magari
.Kwenye eneo hilo magari manne
yamechukuliwa na TRA.
Kwa mujibu wa mmoja wa maofisa
wa TRA ni kwamba operesheni
hiyo itaendelea tena leo huku pia
ikielezwa kuna viwanda mbalimbali
ambavyo vimefungwa kwa kushindwa
kulipa kodi.Hata hivyo alipotafutwa
Mkurugenzi wa Huduma na Elimu kwa
mlipa kodi TRA Richard Kayombo
kuzungumzia operesheni hiyo
hakupatikana.




SAED KUBENEA AISHUKIA HALMASHAURI KINONDONI



Mbunge wa jimbo la Ubungo Mhe. Said Kubenea ameitaka halmashauri ya manispaa ya Kinondoni kuhakikisha fedha za ushuru zinazokusanywa katika masoko yote yaliyomo katika jimbo la Kinondoni zitumike katika kuboresha miundombinu ya masoko hayo ili kuwajengea hari ya kulipa ushuru wafanyabiashara hao



Hukumu kesi ya Marehemu Mawazo

(a) Agizo la Polisi limefutwa na mahakama kuu
(b) UKAWA wameruhusiwa na mahakama kuaga ila wajadili na polisi ni wapi wanaagia
(c) Polisi watoe ulinzi usiopitiliza mipaka ya kazi yao






MIKOPO YA MASHANGINGI


Uongozi Bunge: Fedha atakazopewa Mbunge wa kununua gari ni milioni 90, hautaongezwa kufikia milioni 130 kama baadhi ya Wabunge wanavyotaka.

-Baadhi ya wabunge walitaka wapewe milioni 130 kutokana na kupanda kwa thamani ya dola ya Marekani.







Friday, 14 August 2015

yanayoendlea mbeya muda huu





SONGWE INTERNATIONAL AIRPORT #MBEYA
UKAWA MEMBERS AND SUPPORTERS WAITING #HON_EDWARD_LOWASA










Saturday, 8 August 2015

LOWASSA AONGOZA KURA ZA URAIS.
Shirika la New Deal Africa kupitia mtandao wake wa Easypolls.com wanaendesha utafiti (opinion poll) kwa wagombea Urais nchini Tanzania waliojitokeza hadi sasa ambao ni Edward Lowassa wa (CHADEMA /UKAWA) na John Magufuli (CCM).
Hadi leo jioni matokeo ya mtandao huo yanaonesha kuwa uchaguzi ungefanyika leo Lowassa angeshinda kwa 64%, na Magufuli angefuatia kwa 31%, huku 5% ya wapiga kura wakiwa hawajaamua wampigie nani kati ya Lowassa na Magufuli.


Bila shaka hawa ni wale wanaosubiri wagombea wa vyama vingine wajitokeze. Kwa maana hiyo ni kwamba wagombea watakaojitokeza kupitia ACT, TADEA, CHAUSTA, na vyama vingine watagawana 05% ya hao "undecided".
Nawe pia unaweza kupiga kura yako na kumchagua Rais umtakaye kwa kubofya hapa host1.easypolls.net/poll.html?p=55c4c83de4b0e200525

ZITTO ADAI MAGUFULI SI MSAFI

Kiongozi Mkuu wa chama cha ACT-Wazalendo, Zitto Kabwe, amesema mgombea urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), John Magufuli si msafi katika utendaji kazi wake kama inavyoelezwa kwa Watanzania.




Zitto alijenga hoja yake ya kumtuhumu Magufuli kuwa si msafi kwa kudai kuwa kuna Sh. bilioni 87/= “zimeibiwa” Wizara ya Ujenzi ambayo ndiyo anayoiongoza.
“Fedha hizi ni sehemu ya Sh. bilioni 252/= za miradi ya umeme, barabara na miradi maalumu zilizokosa maelezo yake kwa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali ambapo kukosekana kwa fedha hizo ni kiashiria cha kuwapo matumizi mabaya katika wizara iliyoongozwa na Magufuli,’ alisema Zitto.

Thursday, 2 July 2015

IJUE HISTORIA YA MAKONGORO NYERERE HAPA

Makongoro Nyerere ni mtoto wa tano wa Rais wa kwanza wa Tanzania, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na kwa sasa ni Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala).
Makongoro alizaliwa Januari 30, 1956 (Amefikisha miaka 59 Januari mwaka huu).
Alisoma katika shule za msingi Bunge na Isika zote za Arusha kati ya mwaka 1964–1972 na akajiunga na shule sekondari ya Wavulana Tabora alikohitimu kidato cha nne.
Mwaka 1979 alijiunga na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) na alipelekwa mstari wa mbele kwenye vita ya Uganda, kikosi cha Mizinga na baada ya vita yeye ni mmoja wa askari waliobakizwa ili kulinda amani ya wananchi wa Uganda lakini pia kufundisha askari wapya raia wa Uganda kwa ajili ya mipango ya baadaye ya kuilinda nchi yao wao wenyewe.
Aliporejea nchini kutoka vitani Uganda aliendelea kutumia jeshi kwa muda mfupi kabla ya kupelekwa katika Chuo cha Mafunzo ya Maofisa wa Jeshi (TMA), Monduli–Arusha na alishiriki na kufuzu mafunzo ya Ofisa Kadeti na akawa Ofisa wa Jeshi la Tanzania rasmi hadi alipostaafu rasmi mwaka 1990 akiwa na nyota mbili “Luteni”.
Baada ya kujiunga na kushiriki katika siasa kwa miaka mitano, aliamua kwenda nchini Scotland ambako alisoma Shahada ya Masuala ya Mikakati katika Chuo Kikuu cha Aberdeen, hii ilikuwa mwaka 2001 – 2003.
Makongoro ameshika nyadhifa mbalimbali ndani ya CCM na wadhifa mkubwa aliowahi kushika ni uenyekiti wa chama hicho katika Mkoa wa Mara 2007–2012, lakini pia Ujumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM, moja ya vikao muhimu ndani ya chama hicho.
Makongoro amemuoa Jaji Aisha Nyerere na wamepata watoto watatu, wa kwanza anaitwa Julius Kambarage Nyerere, wa pili ni Daudi Nyerere na wa tatu ni Prince Nyerere.
Mbio za ubunge
Mwaka 1995, Makongoro Nyerere aliwashangaza Watanzania na hasa wanachama wa CCM baada ya kufanya uamuzi wa kukihama chama hicho na kujiunga na chama kilichokuwa maarufu sana wakati huo, NCCR Mageuzi.
Baada ya kujiunga NCCR, Makongoro alitangaza kuwa anagombea ubunge katika jimbo la Arusha Mjini kupitia NCCR. CCM ilifanya kila iwezalo lakini nguvu ya Makongoro ikawa kubwa, akapata asilimia 41.6 na kumshinda Felix Christopher Mrema wa CCM (Aliyewahi kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali) aliyenyakua asilimia 39.9, huku Mzee Edwin Mtei (Waziri Mstaafu wa Fedha na kiongozi wa Chadema wakati huo) akipata asilimia 13.5 ya kura zote. Mwalimu Nyerere mwenyewe aliwahi kusikika akitoa ‘kijembe’ kuhusu familia yake kuwa “…familia yangu iko mstari wa mbele mabadiliko. Nina wafuasi wa CCM, CUF na NCCR…” Nyerere alikuwa anasema hivyo kwa sababu, Leticia Nyerere (mke wa kijana wa Nyerere) ni mtoto wa Mzee Musobi Mageni aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama Cha Wananchi CUF (miaka ya 1990).
Felix Christopher Mrema wa CCM alikata rufaa katika Mahakama Kuu Kanda ya Arusha, akilalamikia ushindi wa Makongoro Nyerere. Felix alisisitiza kwenye rufaa yake kuwa Msimamizi wa Uchaguzi hakuhesabu kura za vituo kadhaa na pia kulikuwa na kura hewa zaidi ya 5,246.
Mahakama Kuu ilitupilia mbali maombi ya Felix, lakini akakata rufaa kwenda Mahakama ya Rufaa ambayo ilijiridhisha kuwa Makongoro alishinda isivyo halali. Ubunge wa Makongoro ukatenguliwa na uchaguzi mdogo ukaitishwa lakini yeye (Makongoro) hakushiriki.
Aliamua kupumzika masuala ya siasa na kujiendeleza kielimu. Alikwenda nchini Urusi na baadaye Uskochi na mwaka 2000 alijiunga tena CCM na baada ya mwaka 2003 akarejea nchini kutoka masomoni ambapo Rais Mkapa alimteua kuwa Mbunge mwaka 2004 – 2005.
Makongoro alirejea tena katika siasa kwa nguvu alipokuwa akisaka ubunge wa Bunge la Afrika Mashariki. Hii ilikuwa mwaka 2012 na alichaguliwa kwa kura 123 na kuwa mbunge wa Bunge hilo hadi muda wake utakapokamilika mwaka 2017.
Mbio za urais
Vyombo mbalimbali vya habari vimekuwa vikimuuliza Makongoro Nyerere kujua kama yumo kwenye kinyang’anyiro cha kuomba ridhaa ya urais kupitia CCM, hakuwahi kukubali au kukataa na mara ya mwisho amehojiwa na gazeti la kila siku linaloheshimika sana nchini Tanzania, bado akawa hakubali au hakatai.
Lakini vyanzo vyangu ndani ya CCM na hata watu wa karibu na Makongoro, wamenithibitishia kuwa milango ikishafunguliwa atachukua fomu. Nimesisitizwa kuwa tayari Makongoro amekwishafunga safari na kuonana na viongozi wengi wa juu waliowahi kuongoza nchi hii wakiwemo marais wastaafu, mawaziri wakuu wastaafu, majaji wakuu wastaafu na wakuu wastaafu wa vyombo vya ulinzi na usalama.
Inaonekana Makongoro hataki kuanza kutajwatajwa sana lakini ana mipango thabiti. Nilipomuuliza juu ya nia hii, hakukubali wala kukataa kwa hiyo mimi nimehitimisha kuwa “yumo kwenye mtanange”.
Nguvu yake
Makongoro ni mtu wa kujitolea sana, siyo kwa kutoa fedha, lah! Kujitolea kufanya mambo ambayo yatawasaidia watu wengine na hata taifa lake. Mwaka 1979 alijiunga jeshini kama mmoja wa vijana waliohitaji kulinda taifa lao dhidi ya nduli Idd Amin. Tunajua kuwa watoto wengi tu wa vigogo wakati huo walikwepa wajibu huo, Makongoro hakuwa mmoja wao.
Lakini Makongoro anapewa nguvu na mtazamo wa jamii kumhusu. Anatazamwa kama mtu wa kawaida tu. Hakuwahi kuthubutu kujijengea tabia za “Unyerere” kwa maana ya taswira ya baba yake. Ni mtu ambaye ukikaa naye chini siku nzima, kama hujaambiwa na mtu wa jirani kuwa huyu ni kijana wa Baba wa Taifa, hutaweza kugundua. Anaishi maisha ya Utanzania zaidi kuliko ya “kuwa mtoto wa Rais wa Kwanza wa Taifa hili”. Leo hii tunashuhudia watoto wangapi wa marais wetu ambao hawawezi kupanda “bajaji au daladala”? Makongoro hachagui nini avae, nini ale na nini apande. Watu wake wa karibu wananiambia kuwa amefaulu kabisa kujijenga yeye kama yeye na si yeye kama mtoto wa Nyerere. Uthubutu ni nguvu ya tatu ya Makongoro. Kiongozi yeyote yule anayejiandaa kuongoza dola lazima awe na uwezo wa kuthubutu kufanya mambo fulani fulani ili kujenga mustakabali mwema mbele ya safari. Mwaka 1995 alipohamia NCCR huku baba yake akiwa ni muasisi wa mwanzo wa Tanu na CCM, wengi walimshangaa sana lakini hakutishwa na kivuli cha “mishangao” hiyo, alipigana na kushinda ubunge Arusha bila kusaidiwa na kivuli cha baba yake? Watoto wangapi wa marais wengine wanaweza kuthubutu kuhamia upinzani na wakagombea na kuishinda nguvu kubwa ya dola za wazazi wao?
Lakini jambo la mwisho kwa hapa ni kufahamika. Makongoro Nyerere ni mtoto wa Nyerere anayefahamika, kutajwa na kuonekana sana kuliko watoto wengine wote. Walau kwa kizazi cha Mwalimu Nyerere, unaweza kusema kuwa Makongoro ndiye amewapita wenzake wote katika ushiriki wa juu wa masuala ya siasa na hata uongozi ndani ya CCM. Kufahamika ni karata muhimu kwake katika mbio hizi.
Udhaifu wake
Udhaifu mkubwa wa Makongoro ni “kufanya maamuzi ya haraka”. Watu wa karibu yake, waliofanya kazi naye bungeni na kwingineko wanasema yeye ni mtu wa kufanya maamuzi na si kulaza viporo. Mbunge mmoja wa Bunge la Afrika Mashariki kutoka Tanzania alinidokeza kuwa yeye hutaka mambo yajadiliwe na kumalizwa na hapendi hata kidogo kulaza masuala ambayo yalihitaji kukamilishwa kwa wakati.
Pamoja na kuwa nchi inahitaji kiongozi anayefanya maamuzi haraka lakini yanapaswa kuwa maamuzi makini. Hadi sasa sijapata ushahidi wa maamuzi yapi Makongoro aliwahi kuyasimamia kwa haraka lakini yakawa na tija kubwa.
Udhaifu mwingine mkubwa wa Makongoro ni kutokuwa na visheni ya kudumu katika siasa. Makongoro tofauti na wanasiasa wengi wa Afrika anachukulia siasa kama suala la wakati na kipindi fulani. Ndiyo maana alipoenguliwa katika nafasi ya ubunge mwaka 1997 pale Arusha, akaamua kutogombea tena akarudi kusoma na baadaye kati ya mwaka 2005–2012 hakugombea nyadhifa zingine za kiuwakilishi kabla ya Eala.
Tabia hii ya kugombea miaka kadhaa na kuacha na tena kurudi baada ya miaka mingine imemfanya Makongoro asijijengee uhakika wa kisiasa na imemnyima fursa ya kusimamia masuala makubwa ambayo leo angewaonyesha Watanzania kuwa aliwahi kutulia mahali fulani na akasimamia masuala hayo.
Watu wake wa karibu pia, wameutaja huu kama udhaifu mkubwa.
Nini kinaweza kumfanya apitishwe
Mambo kama matano hivi yanaweza kumfanya Makongoro avuke mchujo na kuwa mgombea wa CCM:
Jambo la kwanza ni historia yake ya kulitumikia taifa jeshini hadi alipoamua kustaafu mwenyewe lakini pia uzoefu wake ndani ya uongozi na katika kusimamia masuala ya kikanda (Afrika Mshariki). Makongoro ni mmoja wa wabunge wa kutegemewa katika Bunge la Afrika Mashariki akiisaidia Tanzania na ana bahati ya kukubalika hata kwa viongozi wa nchi jirani kama Kenya na Uganda.
Kama CCM itamvusha Makongoro, pia ni kwa sababu ya maadili. Yeye ni mtu mwenye msimamo na kusimamia maadili. Ndiyo maana wakati wa vikao vya Halmashauri Kuu ya CCM ni Makongoro ndiye alisimama kidete na kuwanyooshea vidole makada kadhaa ambao walikuwa wanatuhumiwa kukipatia chama hicho taswira mbaya. Makada hao ni watu wenye uwezo mkubwa wa kifedha na wanaogopwa hasa ndani ya CCM, lakini Makongoro alichukua msimamo mzito mno. CCM ya sasa inaweza kuhitaji mgombea wa namna hii ili kuinusuru na kuirudishia heshima.
Jambo la tatu linaloweza kumvusha ni kuifahamu vizuri CCM ikiwa ni pamoja na kutoharibu taswira ya baba yake. Nyerere alichukia rushwa na Makongoro anachukia sana rushwa. Nilipomuuliza jambo gani analolichukia kwenye ukurasa wake wa facebook, alinijibu kuwa la kwanza ni rushwa, nilipomuuliza la pili alisisitiza “rushwa” na la tatu… rushwa. Kwa sababu anakifahamu vizuri chama chake na ameweza kubeba taswira ya baba yake, huenda akawa mwarobaini ndani ya CCM na hivyo akavushwa.
Jambo la nne linaloweza kumvusha Makongoro ni dhana ya kuua nguvu ya makundi yanayoshindana na yaliyojipanga muda mrefu sana. Kama CCM itahofia kuparaganyika vibaya na inahitaji kurejea kwenye heshima. Makongoro anaweza kuwa mtu muhimu wa kubeba dhamana hiyo na labda kukiacha chama hicho salama.
Gazeti moja la kila siku la Kiingereza, limewahi kuandika kuwa:“Marketing Mr Makongoro is every easy because of the enduring legacy his father left behind to ordinary Tanzanians as well as the elite, many would empathise with him during the election.” (Tafsiri yangu – “Kumuuza Makongoro ni rahisi sana kwa sababu ya heshima ambayo baba yake aliiacha kwa Watanzania wa kawaida pamoja na watu wa kati, watu wengi wataungana naye kwenye uchaguzi”). Hakika, kama CCM inahitaji mtu anayeuzika katika uchaguzi wa mwaka huu, huenda Makongoro ni mmoja wa mtu wa aina hiyo.
Nini kinaweza kumwangusha?
Mambo matatu makubwa yanaweza kumwangusha Makongoro:
La kwanza ni makundi yenye fedha na yaliyojipanga kunyakua urais kupitia CCM, na yameshafanya hivyo kwa kipindi kirefu sana na hivyo kuingia kwake katika hesabu kunaweza kuyafanya makundi hayo yatumie kila mbinu kummaliza kisiasa kwanza ili wakosekane watu mbadala wa kufikiriwa na chama hicho.
Jambo la pili ni uamuzi wake wa kuhama CCM mwaka 1995 na baadaye kurejea mwaka 2000. Chama hicho kinaweza kuwa bado kina hofu na tabia yake ya kufanya maamuzi ya namna hiyo na kwa sababu katika rekodi za marais waliotokana na CCM na kuongoza Tanzania, hakuna mmoja wao ambaye aliwahi kuhamia upinzani kisha akarejea CCM, huenda “zengwe” hili likatumika kummaliza.
Jambo la mwisho ni kukosa ufuasi mkubwa sana ndani ya CCM. Kama CCM itataka kumpitisha mgombea urais wake kwa kutazama nani ana wafuasi wengi ndani ya chama hicho kwa sasa, huenda Makongoro asiwe chaguo. Makongoro hana ufuasi mkubwa ndani ya CCM kwa sababu ufuasi ndani ya chama hicho unajengwa sana na nguvu ya fedha na mitandao, mambo ambayo yeye aliniambia kuwa hawezi kujihusisha nayo.
Asipopitishwa (mpango B)
Namuona Makongoro akijielekeza katika mipango miwili na kufanikiwa, iwapo hatapitishwa kugombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Mpango wa kwanza ni kuendelea kutumikia ubunge wake wa Bunge la Afrika Mashariki na kisha atakapomaliza kipindi cha kwanza aombe kingine na kuendelea kuwakilisha huko.
Mpango wa pili ni kujipanga na kugombea ubunge wa jimbo la Musoma Vijijini.
Mpango wa mwisho unaweza kuwa Kuendeleza kazi za Baba wa Taifa katika maeneo ya haki, umoja na amani. Ikumbukwe kuwa pamoja na taifa hili kupata mchango mkubwa kwa wazee wengi akiwamo Mwalimu Nyerere, historia na kazi za wazee hao hazijatangazwa kitaifa na kimataifa. Huenda Makongoro akaamua kuachana na siasa na kuanza kutangaza juhudi za watu waliopigania taifa hili akiwamo baba yake huku akihamasisha mshikamano katika taifa, umoja, haki na udugu.
Hitimisho
Kujitokeza kwa Makongoro Nyerere katika kusaka urais wa Tanzania kupitia CCM kuna maana kubwa sana, lakini ni kitisho kikubwa kwa kambi zilizojipanga muda mrefu uliopita. Nchi nyingi duniani pia zinaongozwa na vijana ambao wazazi wao walikuwa viongozi wakuu wa mataifa hayo. Mimi huwa sielewi maana ya falsafa hiyo na nilipofuatilia katika nchi zingine nimegundua kuwa vijana wa marais wanapoanza safari ya kutaka ukuu, watu wengi huwachukulia kama wanafanya masihara lakini mwisho wa siku huwa viongozi. Na kwa namna CCM ilivyozidiwa na mpasuko, nina uhakika kuwa watu kama Makongoro Nyerere wana turufu muhimu sana mkononi. Namtakia ndugu huyu ‘kama alivyoomba nimuite’ kila la heri katika nia hii ya urais.
Imeandaliwa na Julius Mtatiro: Ni Mchambuzi wa Masuala ya Kisiasa na Kijamii; ana uzoefu mkubwa wa uongozi wa kisiasa hapa Tanzania. Ana Cheti cha Juu cha Sarufi na Lugha, Shahada ya Sanaa (B.A) katika Elimu (Lugha, Siasa na Utawala), Shahada ya Uzamili ya Utawala na Uongozi (M.A) na ni mwanafunzi wa fani ya sheria (LLB) – Anapatikana kupitia +255787536759.
Uchambuzi huu unatokana na utafiti na maoni yake binafs









Wednesday, 1 July 2015

DAVIDO NA DIAMOND TENA JUKWAA MOJA LA MTV MAMA





davido jana amethibitisha kuwa hawezi kusubiri na ana hamu ya kuona wanaimba jukwaa moja na diamond platinumz siku ya utoaji tuzo za mtv yeye diamond ameendelea kusisitiza kwa watanzania na africa kwa ujumla kumpigia kura ili aweze kuibuka kidedea tena 







Thursday, 18 June 2015

 
Licha ya kutokuwa na msimu mzuri uliomalizika,Kpah Sean Sherman aligeuka kivutio kwa mashabiki kibao waliojitokeza uwanja wa Karume kushuhudia mazoezi ya Mabingwa hao.
Mashabiki wengi walimlaki na kumshangilia mshambuliaji huyo raia wa Liberia.
"Nashukuru nimefika salama,nafurahi kuwa hapa tena.Yanga imekuwa ni Nyumbani kwangu,nimefurahishwa mno na mapokezi niliyoyapata najiona mwenye deni kwa mashabiki wa Yanga!nimejiandaa kikamilifu kuipigania klabu Yangu. . "Alisema Kpah Sean Sherman.
 
habari na NAIPENDA YANGA
 
 
 
 
 
 
 
 


Friday, 3 April 2015

TABIA MBAYA KUMI ZINAZOFANYA USHINDWE KUWA NA AKIBA "SAVINGS"....HATIMAE UNAKOSA MTAJI WA KUFANYA MAMBO YAKO

1. Unanunua nguo bila mpangilio. Kuna watu wana nguo kama duka. Please kuwa na nguo chache tu huwezi kushindana na fashion.

2. Unanunua viatu bila mpango. Viatu pia vinameza savings zetu. Nunua pea chache zenye ubora ili zidumu.

3. Unatoa ofa bar bila mpango. Nenda bar kwa bajeti mahususi. Hakuna atakae kusifia kwa kutoa ofa hovyo. Kila mbuzi ale kwa urefu wa kamba yake. Jifunze ubepari.

4. Unatumia hela nyingi kwenye simu ambazo sio productive. Unaweka vifurushi vya week vya sh 7000 au 10000 ili uchati na marafiki FB au Whatsapp, huo ni ujinga. Badilika.

5. Unakopa hela banki na kununua vitu kama simu ya milioni na gari ambazo sio productive. Unakosa hela hata ya mafuta, gari la nini kwanini usingewekeza sehemu ili kuwe na mradi Wa kuzalisha ndio ununue gari?

6. Una marafiki wengi ambao ni mizigo kwako au hamuendani kivipato hivyo unajikuta unalazimika kutumia zaidi ya kipato chako ili uwa-impress. Meneja Wa TRA na mwalimu wa sec unatarajia utoe offer mpaka umfurahishe meneja? Utabaki na sh ngapi toka kwenye salary yako?? Zinduka.

7. Huna timetable ya kudumu ya maisha yako, unajikuta unaburuzwa tu na marafiki zako kwa kwenda sehemu mbalimbali za matumizi. Kuwa na ratiba za maisha yako na zisimamie kikamilifu, usiburuzwe!

8. Una michepuko inayokutegemea we we kwa kila kitu. Wanakuita ATM we we unakenua tu huzinduki. Badilika.

9. Una huruma sana kuliko kipato chako. Yaani kila ukiombwa unatoa hata kama muombaji hana genuine need. Usiwe mkristo kuliko Yesu. Fanya hivyo kama ni lazima. Ila sio kila anaekupiga mzinga unapigika.

10. Unatembea na hela nyingi kwenye wallet au mshahara wote kwenye wallet au nyumbani kwako. Unapokuwa na petty cash nyingi unatengeneza mazingira ya kutumia hovyo. Jifunze kuweka hela benki. Tembea na hela tu unayoihitaji kwa matumizi ya lazima.

Naamini tukizingatia kanuni hizi kumi tutaongeza savings zetu na kuwa na mtaji wa kufanya vitu vikubwa endelevu.

Anza sasa - badilika.

Friday, 27 March 2015

MAAABU 20 YA AFRICA

1. Nchi ya Gambia ina chuo kikuu kimoja tu (The University of Gambia).

2. Equatorial Guinea ni nchi pekee Afrika ambayo lugha yake ya Taifa ni Kispaniola (Spanish). Hakuna nchi nyingine Afrika inayozungumza Kispaniola.

3. Afrika kusini ndiyo nchi inayotembelewa na wageni wengi zaidi kuliko nchi zote za Afrika.

4. Nigeria ndio nchi yenye matajiri wengi weusi kuliko nchi nyingine za Afrika (richest Black people).

5. Samuel Eto’o ndiye mchezaji anayelipwa ghali zaidi kuliko wachezaji wengine kutoka Afrika. Analipwa Euro 350,000 kwa wiki (sawa na shilingi milioni 980,000/=). Kwa lugha rahisi ni kwamba mshahara wa Et'oo wa wiki 7 unalingana na pesa zote alizoiba Rugemalira kupitia Escrow na kugawia kina Tibaijuka na Ngeleja.

6. Raia kutoka Nigeria anaitwa Nigerian, Raia wa Niger anaitwa Nigerien na raia wa Burkina Faso anaitwa Burkinabe.

7. Nigeria imeshinda vikombe vingi vya soka kuliko Uingereza (England).

8. Ethiopia na Liberia ni nchi pekee Afrika ambazo hazijawahi kutawaliwa. Italia ilipojaribu kuitawala Ethiopia iliishia kupigwa vibaya na ikassurender.

9. Kabila la Limba huko Zambia, mama wa mvulana ndiye anayemtafutia mwanae binti wa kuoa. Mama ndiye anayemuapproach binti, na kulipa mahari kabla hata binti hajamuona kijana mwenyewe. Kinachotakiwa ni binti kumkubali mama tu.. Ukimkubali mama means umemkubali na mwanae. So mwanae utakutana nae kwenye harusi, mambo mengine kabla ya harusi anafanya mama yake.

10. Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe ndiye Rais msomi zaidi duniani. Ana degree 7 alizozisomea ktk vyuo vikuu mbalimbali, mbili kati ya hizo ni Masters.

11. Zinedine Zidane aliwahi kurudi nchi yake ya asili Algeria ili aichezee kwenye mashindano ya kimataifa. Alipofika waziri wa michezo wa Algeria, Abdelmalek Sellal akamwambia "tuna wachezaji wengi wazuri kuliko wewe na hawajapata nafasi kwenye kikosi. Labda tungeruhusiwa kucheza zaidi ya 11 uwanjani ungeweza kubatika kupata namba"

12. Robert Mugabe ndiye Rais mzee zaidi duniani. Anashikilia rekodi kwa kuwa na umri wa miaka 91 akifuatiwa na Shimon Peres, Rais wa Israeli mwenye miaka 90.

13. Shelisheli (Seychellois) ndio nchi ya kwanza duniani ambayo raia wake wameelimika kuliko nchi nyingine. Inakadiriwa kuwa asilimia 91.9% ya watu wake wana elimu ya sekondari na kuendelea. (Tanzania wenye elimu ya sekondari na kuendelea ni asilimia 13.5 kwa mujibu wa HakiElimu.)

14. Mauritius ndiyo nchi pekee Afrika inayoingiza fedha nyingi kupitia utalii wa fukwe (Beach Tourism). Mwaka 2013 iliingiza takribali shilingi trilioni 4.5 kupitia utalii wa fukwe. Tanzania tuliingiza shilingi bilioni 1.7 kupitia Utalii wa fukwe mwaka huohuo.

15. Rwanda ndiyo nchi pekee yenye usawa wa kijinsia kuliko nchi zote duniani (Bunge la Rwanda ni 50% wanaume na 50% wanawake).

16. Ethiopia ndio nchi pekee Afrika yenye viwanja vingi vya ndege vyenye hadhi ya kimataifa (International Airports). Ina viwanja vya ndege 23 vyenye hadhi ya kimataifa. (Tanzania tuna viwanja vya ndege vitatu vyenye hadhi ya kimataifa (JNIA-Dar, KIA-Moshi, na Songwe-Mbeya).

17. Uchumi wa Ethiopia unakua kwa kasi kuliko Uchumi wa China. Uchumi wa Ethiopia (GDP) unakua kwa wastani wa 18.7% kwa mwaka, China GDP inakua kwa wastani wa 11.4% kwa mwaka (according to the World bank fact sheet, 2014)

18. Rais wa Eritrea Isaias Afwerki ndiye Rais Maskini kuliko wote Afrika.  Analipwa mshahara wa Dola 500 za kimarekani ($ 500) sawa na Shilingi 945,000/=. Hiki ni kiwango kidogo cha mshahara kuliko daktari wa mfunzo nchini Tanzania (Intern Doctor).

19. Angola ina watu wengi wanaoongea Kireno kuliko Ureno kwenyewe. Angola ina watu milioni 22 na wote wanaongea Kireno, lakini Ureno ambao ndio wenye lugha wana watu milioni 10.7 tu.

20. Somalia ilipata mashine yake ya kwanza ya ATM tarehe 7, October, 2014. Kabla ya hapo hakukuwa na ATM yoyote nchini Somalia.

BAADA YA GWAJIMA KUMTOLEA MANENO YA KWASHFA ASK. PENGO AHITAJIKA PILISI

Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linamtaka Askofu JOSEPHAT
GWAJIMA wa Kanisa la Ufufuo na Uzima afike haraka katika kituo cha Polisi cha
Kati ofisi ya Mkuu wa Upelelezi Kanda Maalum ya Dar es Salaam kwa mahojiano
kuhusu tuhuma za  kashfa na matusi.

Tumepokea malalamiko ya kukashifiwa na kutukanwa hadharani Mwadhama Kaldinari
Polycarp Pengo ambaye ni kiongozi wa Kanisa Katoliki nchini Tanzania. Kupitia
mitandao mbalimbali ya kijamii kama vile WhatsApp na mingineyo kuna sauti
iliyorekodiwa (audio) na picha za video (Video Clip) zikimuonyesha Askofu
Gwajima akimkashfu na kumtukana kwa maneno makali Kaldinari Pengo katika hali
ambayo pia imewaudhi watu wengine.

Baada ya tukio hilo juhudi mbalimbali zimekuwa zikifanyika katika hali
ya kawaida ili kumpata Askofu Gwajima bila mafanikio na hivyo yeye mwenyewe
sasa anatakiwa aende akaripoti haraka kwa Mkuu wa Upelelezi wa Kanda Maalum ya
Dar es Salaam bila kukosa

Thursday, 26 March 2015

KIKWETE ATEUA WABUNGE WAWILI WAPYA

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz              
Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE,
      STATE HOUSE,
              1 BARACK OBAMA ROAD,  
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewateua wabunge wawili (2) wapya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Walioteuliwa ni Dkt. Grace Khwaya Puja na Bwana Innocent Sebba.

Rais amefanya uteuzi huu  kwa mamlaka aliyopewa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara ya 66 (I) (e) ambapo amepewa mamlaka ya kuteua wabunge wasiozidi 10.

Uteuzi huu umekamilisha idadi ya wabunge ambao Mheshimiwa Rais amepewa  kwa mujibu wa mamlaka aliyonayo Kikatiba.

Wabunge ambao wameshateuliwa ni:
Mhe. Profesa Makame Mnyaa Mbarawa
Mhe. Profesa Sospeter Mwijarubi Muhongo
Mhe. Dkt. Asha Rose Migiro
Mhe. Janet Zebedayo Mbene
Mhe. Saada Salum Mkuya
Mhe. Zakhia Hamdani Meghji
Mhe. Shamsi Vuai Nahodha
Mhe. James Fransis Mbatia

Uteuzi huu umeanza tarehe 20 Machi, 2015.

……………………………MWISHO……………………………….
Imetolewa na:
Premi Kibanga,
Mwandishi wa Habari wa Rais, Msaidizi
Ikulu-Dar-Es-Salaam
26 Machi, 2015

KIKWETE ATEUA WABUNGE WAWILI WAPYA

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz              
Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE,
      STATE HOUSE,
              1 BARACK OBAMA ROAD,  
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewateua wabunge wawili (2) wapya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Walioteuliwa ni Dkt. Grace Khwaya Puja na Bwana Innocent Sebba.

Rais amefanya uteuzi huu  kwa mamlaka aliyopewa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara ya 66 (I) (e) ambapo amepewa mamlaka ya kuteua wabunge wasiozidi 10.

Uteuzi huu umekamilisha idadi ya wabunge ambao Mheshimiwa Rais amepewa  kwa mujibu wa mamlaka aliyonayo Kikatiba.

Wabunge ambao wameshateuliwa ni:
Mhe. Profesa Makame Mnyaa Mbarawa
Mhe. Profesa Sospeter Mwijarubi Muhongo
Mhe. Dkt. Asha Rose Migiro
Mhe. Janet Zebedayo Mbene
Mhe. Saada Salum Mkuya
Mhe. Zakhia Hamdani Meghji
Mhe. Shamsi Vuai Nahodha
Mhe. James Fransis Mbatia

Uteuzi huu umeanza tarehe 20 Machi, 2015.

……………………………MWISHO……………………………….
Imetolewa na:
Premi Kibanga,
Mwandishi wa Habari wa Rais, Msaidizi
Ikulu-Dar-Es-Salaam
26 Machi, 2015

KIKWETE ATEUA WABUNGE WAWILI WAPYA

THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONS

Telephone: 255-22-2114512, 2116898
E-mail: ikulucommpress@googlemail.com
Website : www.ikulu.go.tz              
Fax: 255-22-2113425
PRESIDENT’S OFFICE,
      STATE HOUSE,
              1 BARACK OBAMA ROAD,  
11400 DAR ES SALAAM.
Tanzania.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, amewateua wabunge wawili (2) wapya wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Walioteuliwa ni Dkt. Grace Khwaya Puja na Bwana Innocent Sebba.

Rais amefanya uteuzi huu  kwa mamlaka aliyopewa na Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, ibara ya 66 (I) (e) ambapo amepewa mamlaka ya kuteua wabunge wasiozidi 10.

Uteuzi huu umekamilisha idadi ya wabunge ambao Mheshimiwa Rais amepewa  kwa mujibu wa mamlaka aliyonayo Kikatiba.

Wabunge ambao wameshateuliwa ni:
Mhe. Profesa Makame Mnyaa Mbarawa
Mhe. Profesa Sospeter Mwijarubi Muhongo
Mhe. Dkt. Asha Rose Migiro
Mhe. Janet Zebedayo Mbene
Mhe. Saada Salum Mkuya
Mhe. Zakhia Hamdani Meghji
Mhe. Shamsi Vuai Nahodha
Mhe. James Fransis Mbatia

Uteuzi huu umeanza tarehe 20 Machi, 2015.

……………………………MWISHO……………………………….
Imetolewa na:
Premi Kibanga,
Mwandishi wa Habari wa Rais, Msaidizi
Ikulu-Dar-Es-Salaam
26 Machi, 2015

Monday, 2 March 2015

KUTOKA MITANDAONI MUDA HUU SUPRISE KAMA YA BENJAMINI MKAPA YAJA...

Imetimia, Makongoro Nyerere ndie chaguo rasmi la Kikwete urais.

Yericko Nyerere 11:38 Today

Wakuu,

Mtakumbuka wiki juzi niliwajuza kuwa rais Kikwete baada ya kuona ccm imekufa na hataki chama kizikwe mikononi mwake, aliomba ushauri kwa marais waastafu wa Afrika katika makutano yao kule Ethiopia. Walimshauri kua ajaribu kuokoa jahazi kwakukirudisha chama kwa familia ya mwasisi, Mama Maria Nyerere amajaribu kupinga suala hili lakini ameshindwa, washawishi hasa waandamizi wa dola wamekuwa na nguvu na hata vitisho.

Jana kulikuwa na kikao cha ukoo na wazee wa Musoma ili kupima na kuamua kumruhusu kijana wao mpendwa Makongoro Julius Nyerere kuwa ndie awe mrithi rasmi wa Kikwete.

Kikao hicho kimefanywa kwa ombi la rais Kikwete kwa wazee hao, ambapo wazee kwa kauli moja wamempa baraka zote kuwa kijana avae viatu vya marehemu Baba yake Mzee Julius Nyerere.

Baada ya jana kupata baraka zote, mda huu Makongoro amesafiri kutoka Musoma kuja Dar ambapo tayari ulinzi kwake umeimarishwa maradufu, sasa amepewa ulinzi ma nne ya aliokuwa nao hapo awali

Friday, 27 February 2015

LAZARO NYALANDU AND PARLIAMENT COMMITEE ON TOURISM HOTELS

Arusha. A parliamentary committee is angered that the minister for Tourism, Mr Lazaro Nyalandu has been holding talks with hotel owners ostensibly to reach a consensus with them on what bed occupancy rates should be.

The Parliamentary Committee on Natural Resources and Tourism chairman, Mr James Lembeli, has raised the alarm over the meeting which the minister held recently in Arusha with the hoteliers.

Mr Lembeli said the committee will report the minister to the Speaker, Ms Anne Makinda, over the negotiations which he said contravened a resolution of the National Assembly that required the approved rates to be applied without delay.

The ministry’s permanent secretary, Dr Adelhem Meru, confirmed the meeting but said it yielded no fruit.

“There was no agreement... they were lamenting that the new rates are high and what we did was to receive their suggestions. The turnout at the meeting was also not good,” said Dr Meru.

Sources told me that the hotel owners are petitioning the government to pay between seven to $15 per client per night instead of the new rate between $35 and $50.

ADVERTISEMENT
Parliament was early this month told that the government was losing an average of Sh2 billion a month over failure by the ministry to gazette the new rates as contained in a court ruling last September.

Mr Nyalandu told Parliament then that the new changes would be gazzetted not later than February 15 but that has not been done.

“We’re shocked on how this ministry is operating. He (Nyalandu) was the one who made the February 15 promise but he is now negotiating with hotel owners instead of taking the right actions,” said Mr Lembeli.

“Minister Nyalandu is going against the Parliament and High Court’s ruling, he was tasked to execute the new formula and not holding a bargaining meeting. We can’t let him get away with it.”

Shadow minister for natural resources and tourism Rev Peter Msigwa said Mr Nyalandu should quit the dillydallying and gazette the new formula as soon as possible.

“Seventeen companies lodged a case against the government and the judge ruled in our favour but today the minister who is vested with the powers to execute the order is not doing so, what is this? I believe there’s more to it than sees the eye, there are many thing that we are are yet to know,” he said.

Sunday, 22 February 2015

MARIE STOPES YATENGA BILIONI 37.2 KWAAJILI YA MIRADI YA UZAZI MIKOA MINNE

Marie Stopes Tanzania yatenga Bilioni 37.2 kushughulikia miradi ya uzazi mikoa ya minne
23 February 2015 By dewjiblog 0 comments

Kaimu Mkurugenzi wa Marie Stopes Tanzania, Mwemezi Ngemera akizungumza na wakazi wa Ilongero kuhusu huduma za Mkoba za Uzazi wa Mpango.

Na Nathaniel Limu, Singida

SHIRIKA  lisilo la kiserikali la Marie Stopes Tanzania (MST) linatarajia kutumia zaidi ya shilingi 37.2 bilioni (Pounds 14  milioni), kugharamia mradi wa uzazi wa mpango wa uzazi wa mpango na elimu ya afya ya uzazi kwa vijana  utakaotekelezwa kwa kipindi cha miaka mine kuanzia sasa katika mikoa ya Singida, Kilimanjaro, Manyara na Katavi.

Hayo yamesemwa na Kaimu Mkurugenzi wa Marie Stopes Tanzania, Mwemezi Ngemera, wakati akizungumza kwenye hafla ya uzinduzi wa huduma za mkoba za uzazi wa mpango uliofanyika kimkoa katika kijiji cha Ilongero Wilaya ya Singida.

Alisema fedha hizo zimetolewa na  kufadhiliwa na serikali ya Uingereza kupitia shirika lake la UKAID. Ufadhili huo utaliwezesha shirika  la MST kutoa bure huduma za njia mbalimbali za uzazi wa mpango kupitia huduma za Mkoba ( outreach services).

Mrembo anayeshikilia taji la Miss Marie Stopes Doreen Benne akiwashauri vijana wa Ilongero Mkoani Singida kutumia njia za uzazi wa mpango.

Ngemera alisema malengo yao ni kumwezesha kila mtu kuchagua njia ya uzazi wa mpango anayoihitaji hasa miongoni mwa vijana.

“ Vijana wanaweza kudhani kuwa huduma za uzazi wa mpango ni kwa ajili ya watu walio katika ndoa tu, lakini ni muhimu pia kwao ili kuzuia mimba zisizo takiwa kabla ya ndoa. Nawaomba vijana kuhamasika na kampeni yetu ya chagua maisha kwa kutumia uzazi wa mpango”,alifafanua.

Kwa upande wake Miss Marie Stopes 2014, Doreen Benne, alisema mimba ambazo hazijapangiliwa, huchangia takribani vifo 1,400 kila mwaka vitokanavyo na utoaji mimba usiosalama.

Wanafunzi kutoka shule mbalimbali Mkoani Singida wakisikiliza huduma za uzazi wa  mpango.

Pia zinachangia mamia ya wasichana kufukuzwa shule kwa kuwa na mimba zisizotarajiwa.

Alisema hatari ya hizo au madhara hayo yanaweza kutokomezwa /kuzuiwa endapo kila mtu atazingatia kikamilifu uzazi wa mpango.

Shirika la Marie Stopes ambalo mwaka jana lilishafikia miaka 25 kufanya kazi nchini, linahudumia na kuchangia asilimia 25 ya huduma za uzazi wa mpango unaotekelezwa hapa nchini.

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Singida Wilbard Marandu akikata utepe wakati wa kuzindua gari litakalotumika kutoa huduma za mkoba za uzazi wa mpango Mkoani Singida.

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Singida Wilbard Marandu akizindua gari litakalotumika kutoa huduma za mkoba za uzazi wa mpango Mkoani Singid

MATUKIO YA KUSIKITISHA YALIYOTOKEA CHINI YA MH. RAISI JAKAYA M KIKWETE


TAREHE 05-01-2011
Police wawapiga risasi watu zaidi
ya 11 ktk maandamano ya
CHADEMA. Waua watu 3.
TAREHE_10-2011
Dk.Mwakyembe aenda India
kutibiwa kutokana na Kupewa
Sumu.PoliCCM walipotezea kisiasa.
TAREHE_02-2012
Shehe Ali khamis Kuuawa kwa
mapanga.
TAREHE 26-06-2012
Dr.Ulimboka akatekwa na kufanyiwa
unyama.
TAREHE 18-07-2012
Mv spice yazama.
TAREHE 02-09-2012
Daudi Mwangosi auliwa na polisi
Iringa.
TAREHE 28-09-2012
LHRC Waishtaki serikali ya K.. ICC
TAREHE 12-10-2012
Mtoto kudhihaki Kitabu kitakatifu
(haijawahi kutokea Tz)
TAREHE 16-10-2012
Shehe Farid A. Hadi kiongozi wa
Uhamsho kutekwa na kupotea
(Alipatikana)
TAREHE _12-2012
Padre Ambrose apigwa risasi
Zanzibar
TAREHE _02-2013
Padre Evarist Mushi apigwa risasi
Zanzibar.
TAREHE 18-02-2013
Matokeo kidato cha 4
mabovu,haijawahi kutokea duniani
tangu kuumbwa kwa Adam na
Hawa.
Waliopata div 4 na 0 ni takriban
95%
TAREHE 05-03-2013
Kibanda afanyiwa ya Ulimboka.
TAREHE _03-2013
Lwakatale (mkurugenzi wa usalama
CHADEMA) atuhumiwa kwa Ugaidi.
TAREHE 17-04-2013
wabunge 6 wa CHADEMA watolewa
nje ya bunge,Ndugai/naibu spika
awapa adhabu ya kutoingia
bungeni siku 5 kinyume na kanuni
za bunge.
Siku hiyohiyo mh.Lema amtaja Rais
kuwa ndie mwanzilishi wa udini.
TAREHE 25-04-2013
Lema avamiwa usiku wa manane
na polisi kwa amri ya Mulongo/
mkuu wa mkoa wa Arusha
UPDATE,
TAREHE 05-05-2013
Mlipuko watokea kanisani Arusha...
Mheshimiwa rais akiwa angani na
ndege kuelekea Kuwait kuta..
TAREHE 08-05-2013
Lwakatale/mkulugenzi wa usalama
wa CHADEMA afutiwa mashtaka ya
ugaidi.
MWAKA 2013
.Deni la taifa lafikia tril.22 wakati
Kikwete alikuta deni ni tril.5
.Dola moja=1,600 tshs wakat
alikuta dola moja=600tshs.
TAREHE 14-05-2013
tetesi za
Kikwete kuandaliwa mpango wa
kuwa rais wa Tz hadi mwaka 2017
badala ya mwaka 2015,ili asimamie
kukamilika kwa uundwaji wa katiba
mpya.
Source,Mh.Pro.Lipumba.
UPDATES:
TAREHE 18-05-2013
Tetesi: Kanisa la TAG ladaiwa
kuchomwa moto leo hii....
TAREHE 19-05-2013
Iringa, Police wawashambulia
Wamachinga kwa Mabomu ya
machozi kuwaondoa eneo
wanalofanyia kazi.
Mh.Mch.Msigwa Mbunge wa Iringa
Mjini akamatwa na Police.
Tare.20-05-2013 Mhe.Msigwa
atolewa Lupango kwa dhamana.
TAREHE 22-05-2013
Ukaidi wa Kikwete na waziri wake
wa nishati na madini wasababisha
vurugu Mtwara watu wakipinga
ujenz wa bomba la gesi kwenda
Dar.
Zaidi ya watu 6 wakiwemo Police
wauawa.
(kama kunanilichokisahau ama
kukosea nikumbusheni at)
mfano,Tarehe aliyosema hajui
kwanini Tz ni maskin,msongamano
wa magali dar ni ishara ya maisha bora kwa kila Mtanzania.

MKUU WA KITUO CHA POLISI NJOMBE MlAKA 30 JELA KWA KUBAKA

Mkuu wa Kituo cha Polisi Ilembula
Njombe Afungwa Jela Miaka 30
kwa kosa la Kumbaka Mahabusu
Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa
ya Njombe, imemhukumu aliyekuwa
mkuu wa kituo cha Polisi Ilembula
kifungo cha miaka 30 jela, baada
ya kukutwa na hatia ya kumbaka
mtuhumiwa aliyekuwa ndani ya
mahabusu.
Hukumu hiyo ilitolewa na Hakimu
Augustine Rwezile, baada ya
mshtakiwa huyo James Nyambenga
kukiri kosa hilo mahakamani,
ambapo mshakiwa huyo anadaiwa
kumtoa msichana huyo kwenye
chumba cha mahabusu alikokuwa
anashikiliwa na kumbaka.
Mwanamke huyo ambae ni
mhudumu wa bar alikuwa
anashikiliwa kwenye mahabusu ya
kituo hicho kwa tuhuma za
uzururaji.
Akisoma hukumu hiyo Hakimu
Rwezile amesema ushahidi
uliotolewa na upande wa
mlalamikaji na vielelezo vya daktari
aliyempima msichana huyo viliweza
kuithibitishia Mahakama kuwa
mtuhumiwa alitenda kosa hilo.

Friday, 20 February 2015

LIFE AND EDUCATION

"African Education system has surprising outcomes. The smartest students pass with 1st Class and get admissions to medical and engineering schools. The 2nd Class students get MBAs and LLB’s to manage the First Class students. The 3rd Class students enter politics, and rule both 1st and 2nd Class students. The Failures join the army and control politicians who, if they are not happy with, they kick or kill them. Best of all.....
those who did not attend any school, become  witch doctors, and everybody follows them."

Wednesday, 18 February 2015

RAISI KIKWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA

RAIS KIKWETE ATEUA WAKUU WA WILAYA WAPYA 27

*Atengua uteuzi wa Ma-DC 12, awabadilisha vituo 64, awabakiza 42 kwenye vituo vyao vya zamani

RAIS Jakaya Kikwete amefanya mabadiliko ya Wakuu wa Wilaya kwa kuwateua Wakuu wapya 27, kuwahamisha vituo vya kazi 64 na wengine 42 amewabakisha kwenye vituo vyao vya kazi vya zamani.

Akizungumza na waandishi wa habari kwenye ukumbi wa OWM TAMISEMI leo mchana (Jumatano, Februari 18, 2015) Waziri Mkuu Mizengo Pinda amesema mabadiliko hayo yamesababishwa na kuwepo kwa nafasi wazi 27 ambazo zilitokana na wakuu wa wilaya watatu kufariki dunia; kupandishwa cheo wakuu wa wilaya watano, kupangiwa majukumu mengine wakuu wa wilaya saba na kutenguliwa kwa uteuzi wa wakuu wa wilaya 12.

Hata hivyo, Waziri Mkuu alisema, Rais  Kikwete amewabadilisha vituo vya kazi wakuu wa wilaya 64 na kuwabakiza kwenye vituo vyao vya zamani wakuu wa wilaya 42.

Wakuu wa Wilaya wapya 27 walioteuliwa ni Mariam Ramadhani Mtima anayeenda Ruangwa; Dk. Jasmine B. Tiisike anayeenda Mpwapwa; Pololeti Mgema (Nachingwea); Fadhili Nkurlu anayeenda Misenyi; Felix Jackson Lyaniva anayeenda Rorya na Fredrick Wilfred Mwakalebela anayeenda wilayaya Wanging’ombe.

Wengine na vituo vyao kwenye mabano ni Zainab Rajab Mbussi (Rungwe); Francis K. Mwonga (Bahi); Kanali Kimiang’ombe Samwel Nzoka (Kiteto), Husna Rajab Msangi (Handeni), Emmanuel J. Uhaula (Tandahimba); Mboni Mhita (Mufindi); Hashim S. Mgandilwa (Ngorongoro); Mariam M. Juma (Lushoto); Thea Medard Ntara (Kyela); Ahmad H. Nammohe (Mbozi); Shaban Kissu (Kondoa) na Stephen Zelothe (Musoma).

Wengine ni Pili Moshi (Kwimba); Mahmoud A. Kambona (Simanjiro); Glorius B. Luoga (Tarime); Zainab R. Telack (Sengerema); Bernard Nduta (Masasi); Zuhura Mustafa Ally (Uyui); Paulo Makonda (Kinondoni); Mwajuma Nyiruka (Misungwi) na na Maftah Ally Mohamed (Serengeti).

Wakuu wa Wilaya saba ambao uteuzi wao umetenguliwa lakini watapangiwa kazi nyingine ni Brig. Jenerali Cosmas Kayombo aliyekuwa Simanjiro; Kanali Ngemela E. Lubinga (aliyekuwa Mlele); Juma S. Madaha (aliyekuwa Ludewa); Mercy E. Silla (aliyekuwa Mkuranga); Ahmed R. Kipozi (aliyekuwa Bagamoyo); Mrisho Gambo (aliyekuwa Korogwe) na Elinas A. Pallangyo (aliyekuwa Rombo).

Waziri Mkuu pia aliwataja Wakuu wa Wilaya 12 ambao uteuzi wao umetenguliwa kutokana na sababu za umri, kiafya na kuimarisha utendaji Serikaini na wilaya zao kwenye mabano kuwa ni James K. Ole Millya (Longido); Elias Wawa Lali (Ngorongoro); Alfred Ernest Msovella (Kongwa); Danhi Beatus Makanga (Kasulu); Fatma Losindilo Kimario (Kisarawe); Elibariki E. Kingu (Igunga); Dk. Leticia Moses Warioba (Iringa); Evarista N. Kalalu (Mufindi); Abihudi M. Saideya (Momba); Martha J. Umbulla (Kiteto); Khalid J. Mandia (Babati) na Elias Goroi (Rorya).

(mwisho)

IMETOLEWA NA:

OFISI YA WAZIRI MKUU,

S. L. P. 980,

DODOMA.

JUMATANO, FEBRUARI 18, 201

Saturday, 7 February 2015

Brand mpya ya pikipiki

Kwa maekezo zaidi cheki nasi hapa 
           0652 060 209

Sunday, 25 January 2015

ZITTO KABWE JUU YA BARAZA JIPYA LA MAWAZIRI

Maoni ya zitto zuberi kabwe juu ya jubadilishwa kwa wizara waziri MWAKYEMBE ametodautiana na mawazo na wananchi wengi wa TANZANIA ambao wanaamini kuwa waziri MWAKYEMBE alifanya kazi nzuri sana kwenye wizara ya uchukuzi wengine wanaamini MWAKYEMBE akiwazibia mianya ya rushwa na mianya ya dawa za kulevya uwanja wa ndege pamoja kuleta ahuen kwenye usafiri wa dar es salaam kwa kuleta treni jipya kwa ajili ya usafiri dar es salaam.

WHATSAPP

Jua wazazi wanakufikiriaje na matumizi yako ya whatsapp, vijana tumetekwa na mambo ya magharibi kiasi kwamba hata walioabzisha baadhi ya vitu wabatushangaa hapa nimekutana na dokta mmoja mtaalamu wa mambo ya vijana dr. Kanoute shirima anasema  "technolojia imekuja kuturahisishia maisha na ikija kufika 2030 mambo yatakuja kuwa marahisi sana kwa gharama ndogo mno ila tumeanza kuimiss use (kuitumia vibaya) hii teknolojia kiasi kwamba wazazi wanalalamika kuwa vijana wao wanaharibikiwa kwa sababu ya technology advancement (kukua kwa teknolojia) kumbe sivyo tunatakiwa tutumie teknolojia kutusaidia kutafuta hela kutangaza bushara zetu, kutafuta majibu kwenye masomo yetu na assaignment za shule na chuo" akamalizia hapo

Lov3

http://wnq-writers.com/post/109061747405/quotes-creative-writing-wordsnquotes

Saturday, 24 January 2015


        bar


Rais Jakaya kikwete wa Tanzania ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri.
Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano.
Tangazo hilo lilifanywa na katibu katika ikulu ya rais balozi Ombeni Sefue.
Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa waziri wa nishati na kawi wa Profesa Muhongo ambaye amejiuzulu mapema leo pamoja na wadhfa wa waziri wa ardhi ambao uliwachwa wazi baada ya kupigwa kalamu kwa Anna Tibaijuka.
Mawaziri hao wawili wanahusishwa na kashfa ya ufisadi ambayo ilimshinikiza mwanasheria mkuu pia kujiuzulu.Nafasi ya Profesa Muhongo imechukuliwa na aliyekuwa naibu wa waziri wa ardhi, George Simbachawene
Rais Kikwete amewaapisha mawaziri hao wapya hii leo katika tangazo lililorushwa hewani na runinga ya taifa moja kwa moja.
Hii ndio orodha ya mawaziri walioteuliwa
MAWAZIRI
George Simachawene waziri wa nishati na madini
Mary Nagu- waziri wa nchi [afisi ya rais] mahusiano na uratibu
Christopher chiza -waziri uwezeshaji na uwekezaji
Harisson Mwakyembe[waziri wa ushirikiano wa afrika mashariki]
William Lukuvi -waziri wa ardhi nyumba na makaazi
Steven Wasira -waziri wa kilimo chakula na ushirika
Samwel Sita -waziri wa uchukuzi
Jenista Muhagama -waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera uratibu na bunge
MANAIBU WAZIRI
Stephen Masele -naibu waziri afisi ya makamu wa rais muungano
Angela Kariuki -naibu waziri wa ardhi nyumba na makaazi
Ummi Mwalimu- naibu waziri wa katiba na sheria
Anna Kilango naibu waziri wa elimu na mafunzo ya kiufundi
Charles Mwijage-naibu waziri wa nishati na madini

BARAZA LA MAWAZIRI LAPANGULIWA TENA


Rais Jakaya kikwete wa Tanzania ametangaza mabadiliko katika baraza lake la mawaziri.
Rais amewateua mawaziri wanane wapya pamoja na manaibu watano.
Tangazo hilo lilifanywa na katibu katika ikulu ya rais balozi Ombeni Sefue.
Mabadiliko hayo yanajumuisha wadhfa wa waziri wa nishati na kawi wa Profesa Muhongo ambaye amejiuzulu mapema leo pamoja na wadhfa wa waziri wa ardhi ambao uliwachwa wazi baada ya kupigwa kalamu kwa Anna Tibaijuka.
Mawaziri hao wawili wanahusishwa na kashfa ya ufisadi ambayo ilimshinikiza mwanasheria mkuu pia kujiuzulu.Nafasi ya Profesa Muhongo imechukuliwa na aliyekuwa naibu wa waziri wa ardhi, George Simbachawene
Rais Kikwete amewaapisha mawaziri hao wapya hii leo katika tangazo lililorushwa hewani na runinga ya taifa moja kwa moja.
Hii ndio orodha ya mawaziri walioteuliwa
MAWAZIRI
George Simachawene waziri wa nishati na madini
Mary Nagu- waziri wa nchi [afisi ya rais] mahusiano na uratibu
Christopher chiza -waziri uwezeshaji na uwekezaji
Harisson Mwakyembe[waziri wa ushirikiano wa afrika mashariki]
William Lukuvi -waziri wa ardhi nyumba na makaazi
Steven Wasira -waziri wa kilimo chakula na ushirika
Samwel Sita -waziri wa uchukuzi
Jenista Muhagama -waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu sera uratibu na bunge
MANAIBU WAZIRI
Stephen Masele -naibu waziri afisi ya makamu wa rais muungano
Angela Kariuki -naibu waziri wa ardhi nyumba na makaazi
Ummi Mwalimu- naibu waziri wa katiba na sheria
Anna Kilango naibu waziri wa elimu na mafunzo ya kiufundi
Charles Mwijage-naibu waziri wa nishati na madini